Nandy – Asante Lyrics

0
Nandy Wanibariki EP Lyrics
Nandy – Wanibariki EP Lyrics

Asante Lyrics by Nandy

Kwenye mapito nitetee
Nishike nivushe
Ya dunia mazito baba
Usiache yanilemee

Faraja yangu i kwako
Usinishushe nipandishe
Ya dunia mazito baba ee

Hata ninapokosea, we huna hasira
Unasamehe makosa yangu
Eh eh aah, naziona zako fadhila
Umenitendea umekuwa upande wangu

Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema
Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema

Asante Jehovah
Asante Jehovah
Asante Jehovah
Asante Jehovah

Nyakati za shida, wakati wa vita
Uliniwaza toka mwanzoni
Wakanena mabaya wakanipaka za ubaya
Ulinivusha nisiaibike

Hata ninapokosea, we huna hasira
Unasamehe makosa yangu
Eh eh aah, naziona zako fadhila
Umenitendea umekuwa upande wangu

Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema
Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema

Wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
Nyakati za shida hujanichoka, umekuwa mwema kwangu
Wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
Nyakati za shida hujanichoka, umekuwa mwema kwangu

Written by; Nandy
Released date; 6 March, 2021
Album/EP; Wanibariki

 

Nandy Asante Lyrics

Leave A Reply