Nandy – Wanibariki Lyrics

0
Nandy Wanibariki EP Lyrics
Nandy – Wanibariki EP Lyrics

Wanibariki Lyrics by Nandy

Mmmh ooh Baba
Niwe pekee wanijua vyema
Kwako sitetereki kamwe
Wanitenda mema na kunipa heshima
Umenifanya nisimame

Na kama nikishikwa na shida
Nitakimbilia hekaluni mwako
Nitajaza nafsi mbele zako bwana
Nitasema yote yanayonishinda

Nilipo mie na wewe upo
Nilipo mie na wewe upo Bwana
Nilipo mie na wewe upo
Nilipo mie na wewe upo Bwana

Haa, wanibariki eeh
Haaa aah, sitokuacha milele
Haa, wanilinda mie
Haaa aah, nitakuabudu milele

Haa, wanibariki eeh
Haaa aah, sitokuacha milele
Haa, wanilinda mie
Haaa aah, nitakuabudu milele

Hakuna giza tena wala hakuna mashaka
Umeivua laana umenivika baraka
Moyo wangu wakutamani ewe baba
Nafsi yangu yakulilia
Umenijaza imani sio haba neno lako nashikilia

Umenishika mkono wako (Asante Asante)
Umenivusha magumu (Asante Asante)
Umenishika mkono wako (Asante Asante)
Umenivusha magumu (Asante Asante)

Nilipo mie na wewe upo
Nilipo mie na wewe upo Bwana
Nilipo mie na wewe upo
Nilipo mie na wewe upo Bwana

Haa, wanibariki eeh
Haaa aah, sitokuacha milele
Haa, wanilinda mie
Haaa aah, nitakuabudu milele

Haa, wanibariki eeh
Haaa aah, sitokuacha milele
Haa, wanilinda mie
Haaa aah, nitakuabudu milele

Milele milele milele
Milele..ooh baba wanibariki mimi
Na wabariki na wao

Written by; Nandy
Released date; 6 March, 2021
Album/EP; Wanibariki

 

Nandy Wanibariki Lyrics

Leave A Reply